Wednesday, November 7, 2007

TUMAINI LA AFRICA MISS WORLD 2007

Countdown ya mashindano ya Miss World 2007 imeshaanza. Zimebaki siku chini ya 25 kabla kitendawili cha mrembo mpya wa dunia kutenguliwa huko mkoani Sanya nchini China.

Miss Tanzania-Richa Adhia(19) Miss Uganda-Monica Kusiime Kasyate (21)
Miss Kenya-Catherine Wainana(22)

Wafuatao hapo juu ni baadhi ya warembo wanaoshidania Mrembo wa dunia wa mwaka 2007

No comments: